Basic Technician Certificate in Clinical Medicine
Muda wa Kozi ni Miaka Miwili
Sifa: Mwanafunzi mwenye vigezo wa kusoma kozi hii ya miaka miwili lazima awe amehitimu elimu ya Sekondari (Kidato cha 4 nchini Tanzania au awe na matokeo yaliyo tafsiriwa na NECTA ikiwa alisoma nje ya Tanzania)
Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with four (4) passes in non-religious subjects including Chemistry, Biology and Physics/Engineering Sciences. A pass in Basic Mathematics and English Language is an added advantage.
Fanya Maombi Moja kwa Moja Chuoni
Pakua fomu ya Maombi au fika chuoni GSMC SINGIDA. Chuo Kinapatikana katika Manispaa ya Singida kata ya Mangua Njuki, kilomita 8 kutoka katikati mwa mji.