GOLD SEAL MEDICAL COLLEGE IS DELIGHTED TO ANNOUNCE THE APPLICATION FOR NEW ACADEMIC YEAR 2023 / 2024 SEPTEMBER INTAKE IS OPEN
FANYA MAOMBI KWA KOZI ZIFUATAZO
ASTASHAHADA NA STASHAHADA
1. Sayansi ya Dawa
2. Clinical Medicine
Njia ya Maombi:
Pakua Fomu ya Maombi Ijaze,kisha itume kupitia barua pepe (goldsealcollege@gmail.com), au Kwa kufika chuoni kwetu GSMC - Singida, kwa Whatsapp number (+255 759 311 827) au fanya maombi kwenye website ya chuo kwa kubofya kitufe “FANYA MAOMBI SASA”
Pia unaweza kuwasiliana nasi kwa maswali yoyote
Karibu
Viambatisho: